Friday, July 07, 2017

ASAS YATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI ZAIDI WA MAZIWA


Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika banda la kampuni ya Maziwa ya Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Meneja Masoko Jimy Kiwelu akitoa Maelezo kwa Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiasaini katabu cha wageni wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Meneja Masoko Jimy Kiwelu akitoa Maelezo kwa Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...