Friday, July 07, 2017

ASAS YATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI ZAIDI WA MAZIWA


Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika banda la kampuni ya Maziwa ya Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Meneja Masoko Jimy Kiwelu akitoa Maelezo kwa Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiasaini katabu cha wageni wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Meneja Masoko Jimy Kiwelu akitoa Maelezo kwa Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati alipotembelea banda la kampuni ya Maziwa la Asas katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba

No comments: