Saturday, July 29, 2017

MOTO UMEZUKA UWANJA WA NDEGE WA SONGWE MBEYA

Moto huo ukiwaka.
Moto mkubwa umezuka katika Uwanja wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya leo Julai 29, 2017 majira ya mchana na kuzua taharuki kubwa miongoni mwa wakazi wa karibu na abiria waliokuwa wakitumia uwanja huo kwa safari zao.
Moto huo ukiwaka.
Aidha jitihada za kuuzima moto huo zilifanyika wakati huo nakufanikiwa kuuzima licha ya kuwa ulikuwa umeshaanza kusambaa.
Ajali ilivyokuwa.
Mamlaka husika haijatoa taarifa rasmi kuhusiana na chanzo cha moto huo pamoja na madhara yaliyojitokeza kutokana na ajali hiyo.
Moshi mkali ukizuka.
Tutaendelea kukupa taarifa zaidi juu ya tukio hilo. Tazama picha za tukio.
Taharuki ikitanda.

No comments: