Monday, March 27, 2017

WAFANYAKAZI NHC WAKUTANA KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YA KIUTENDAJI KAZI

 Viongozi wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.


Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia kwa karibu hoja zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo. Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa, Lilian Reuben akizungumza  akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...