Monday, March 27, 2017

WAFANYAKAZI NHC WAKUTANA KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YA KIUTENDAJI KAZI

 Viongozi wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.


Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia kwa karibu hoja zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo. Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa, Lilian Reuben akizungumza  akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...