Monday, March 27, 2017

WAFANYAKAZI NHC WAKUTANA KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YA KIUTENDAJI KAZI

 Viongozi wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.


Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia kwa karibu hoja zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo. Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.
Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi wa migodini na kazi za ujenzi (TAMICO) wa Shirika la Nyumba la Taifa, Lilian Reuben akizungumza  akiimba wimbo wa Mshikamano kwa wafanyakazi katika kupigania maslahi ya wafanyakazi Mkutano ulifanyika siku ya Ijumaa.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...