Tuesday, March 21, 2017

ILALA YAZINDUA MRADI WA MAJI WA MAMILIONI PUGU


 Naibu Meya akizindua mradi mkubwa wa kisima cha maji katika jimbo la ukonga kata ya pugu mtaa wa bombani na kigogo B ,Mradi huo wa maji umegharimu kiashi cha fedha Milioni  67.610.000 kama sehemu za juhudi za Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kwa kushirikiana na Wananchi pamoja na mfuko wa Jimbo
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akifungua  bomba la Maji kuashiria kuwa Maji yanaanza kutumika katika eneo la Pugu Kajiungeni
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akimtwisha ndoo ya Maji mmoja wa wakazi wa Pugu mara baada ya Maji ya kisima kilichochimbwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza na wakazi wa Jimbo la ukonga kata ya Pugu mtaa wa bombani Kigogo B.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ,Omary Kumbilamoto  akishuka bondeni kuangalia chanzo cha maji katika eneo la Pugu

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...