Saturday, March 25, 2017

WAZIRI MUHONGO AZINDUA MRADI WA UMEME VIJIJINI MKOANI SINGIDA


Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo akizinduzia Mradi wa umeme Vijijini Mkoa wa Singida. Uzinduzi huo umefanyika jana Machi  24/2017 na kuhudhuriwa na wafadhili kutoka WB, EU, Norway na Denmark ambao wwnafadhili mradi mkubwa wa Backbone unaoanzia Iringa- Dodoma-Singida hadi Shinyanga. Mradi huo wa REA III unatekelezwa kuziba mapengo ya maeneo vijiji ambavyo vimepitiwa na mradi mkubwa wa Backbone na vilirukwa katika Awamu ya REA II.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...