Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe ( wa pili kutoka kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Vincent Mashinji ( Wa kwanza kulia), Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Edward Lowassa (Wa pili kushoto) na Waziri Mkuu Msaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Federick Sumaye wakiwa ndani ya Mahakama Kuu jijini Arusha, Leo Ijumaa 03/03/2017 ambapo kesi ya Mbunge wa Arusha, Mhe. Godbless Lema kuhusu dhamana yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment