Saturday, March 04, 2017

RAIS MAGUFULI AFUNGUA RASMI NYUMBA ZA MAKAZI ZILIZOJENGWA NA NHC NA KUUZWA KWA BoT

5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Nyumba za Shirika la nyumba la Taifa NHC katika eneo la Raha leo mkoani Mtwara. Wengine katika Picha ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa NHC Nehemia Mchechu.
6 
7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza  Mbunge wa Mtwara mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Maftah Nachuma kabla ya kufungua rasmi Nyumba za Shirika la nyumba la Taifa NHC katika eneo la Raha leo mkoani Mtwara.
8
Sehemu ya Nyumba hizo za Ghorofa za Shirika la Nyumba la Taifa NHC katika eneo la Raha Leo mkoani Mtwara.
PICHA NA IKULU

No comments: