Tuesday, March 14, 2017

WANANCHI WA JAMII YA WAFUGAJI NGORONGORO WATOA MALALAMIKO YAO KWA KAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALISILI NA UTALII

Wananchi wa jamii ya wafugaji waliposimama katikati ya barabara ya kuingia Makao makuu ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwa lengo la kuzuia msafara wa Kamati ya Bunge ya Maliasili na Utalii ilipotembelea Ngorongoro.
Wananchi wa jamii ya wafugaji wanaoishi katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro wakilelekea makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro mara baada ya kuomba kutoa kero zao mbele ya kamati hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro,Rashid Taka akitoa neno la ukaribisho kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii ilipotembelea wilaya ya Ngorongoro.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii wakiwa katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashasta Ndetiye akizungumza na wananchi wa jamii ya wafugaji  makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Wananchi wa Ngorongoro wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashasta Ndetiye alipozungumza nao.
Mbunge wa jimbo la Siha na Mjumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasi na Utalii ,Godwin Mollel akizungumza wakati wa kikao hicho. 
Mwenyekiti wa Baraza la Wafugaji Edward Maura akitoa malalamiko yao kwa kamati ya kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii ilipofika makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuzungumza naao.
Wananchi wa jamii ya Wafugaji wanaoishi katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro wakifanya maombi mara baada ya kumalizika kwa kikao na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.

No comments: