Sunday, August 30, 2009

Jangili anaswa na nyara


Askari wa wanyama poli katika mbuga ya wanyama ya Wami-Mbiki iliyopo mkoa wa Morogoro na Pwani, Lucas Peter (51) kushoto akitoa minofu ya nyama baada ya jangiri Kaburu Yamungu Moshi kukamatwa na askari hao katika kijiji cha
Kidudwe wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro akidaiwa kuwinda kinyume na sheria. Picha na Juma Mtanda

1 comment:

John Mwaipopo said...

mie naona wamuachie tu ila kwa onyo kali kuwa asilan asirudie. hiyo nyama wala haitamfanya kuwa tajiri. but does he own the gun legally?

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...