Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la Dar Es Salaam, Mhashamu Method Kilaini, mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya futari ambayo Rais Kikwete aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbali mbali nchini jana, Jumamosi, Agosti 29, 2009, Ikulu, Dar Es Salaam.
Sunday, August 30, 2009
Futari na Rais
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la Dar Es Salaam, Mhashamu Method Kilaini, mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya futari ambayo Rais Kikwete aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbali mbali nchini jana, Jumamosi, Agosti 29, 2009, Ikulu, Dar Es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SEKTA YA MADINI YACHOCHEA UCHUMI: MAPATO YAVUKA MALENGO NA MAUZO
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali inaendelea kuonesha dhamira ya...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
2 comments:
huyo jamaa mshamba na mjinga kwani hiyo zawadi anazotoa zitamsaidia nini mtanzania wakati kila siku anawatia watu umasikini kwa roho mbaya yake
Picha ya Rais wetu na kiongozi wa kanisa inamaanisha nini katika sherehe inayowahusu waislamu?
Binafsi ningeona ni right kuiwasilisha picha ya Rais na kiongozi mmoja wapo wa kiislam katika futari hiyo.
au nimekosea?
Post a Comment