Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la Dar Es Salaam, Mhashamu Method Kilaini, mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya futari ambayo Rais Kikwete aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbali mbali nchini jana, Jumamosi, Agosti 29, 2009, Ikulu, Dar Es Salaam.
Sunday, August 30, 2009
Futari na Rais
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la Dar Es Salaam, Mhashamu Method Kilaini, mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya futari ambayo Rais Kikwete aliwaandalia viongozi wa dini na madhehebu mbali mbali nchini jana, Jumamosi, Agosti 29, 2009, Ikulu, Dar Es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
2 comments:
huyo jamaa mshamba na mjinga kwani hiyo zawadi anazotoa zitamsaidia nini mtanzania wakati kila siku anawatia watu umasikini kwa roho mbaya yake
Picha ya Rais wetu na kiongozi wa kanisa inamaanisha nini katika sherehe inayowahusu waislamu?
Binafsi ningeona ni right kuiwasilisha picha ya Rais na kiongozi mmoja wapo wa kiislam katika futari hiyo.
au nimekosea?
Post a Comment