Saturday, August 08, 2009

miss ilala 2009




















Sylvia Frank Shally (pichani mwenye kivazi chekundu) amekuwa Miss Redds Ilala 2009 na pia ameibuka kuwa Miss Redds-Michuziblog Photogenic. Sylvia kajishindia shilingi laki 5 ambazo zimetolewa na Redds Premium lager, Picha zingine zinaonyesha washiriki wa shindanom hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kupambwa na burudani za aina mbalimbali. Picha za Salhim Shao.

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...