Saturday, August 08, 2009

miss ilala 2009




















Sylvia Frank Shally (pichani mwenye kivazi chekundu) amekuwa Miss Redds Ilala 2009 na pia ameibuka kuwa Miss Redds-Michuziblog Photogenic. Sylvia kajishindia shilingi laki 5 ambazo zimetolewa na Redds Premium lager, Picha zingine zinaonyesha washiriki wa shindanom hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kupambwa na burudani za aina mbalimbali. Picha za Salhim Shao.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...