Sylvia Frank Shally (pichani mwenye kivazi chekundu) amekuwa Miss Redds Ilala 2009 na pia ameibuka kuwa Miss Redds-Michuziblog Photogenic. Sylvia kajishindia shilingi laki 5 ambazo zimetolewa na Redds Premium lager, Picha zingine zinaonyesha washiriki wa shindanom hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kupambwa na burudani za aina mbalimbali. Picha za Salhim Shao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment