
Ni mambo ya kawaida sana katika jamii na kwa afya ya jamii, upitapo kila kona ya nchi hii utawakuta wakiwa katika vijimeza vyao kandoni mwa barabara, lakini jeee wanauza nini hebu nipeni kapsheni.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
2 comments:
Kwa kumbukumbu zangu hawa jamaa huwa wanauza "dawa" kama vile dawa ya mapenzi! na nyenginezo.
jamani .mna shulubati hapo.mme wangu hawezi majamboz kabisa
Post a Comment