Monday, August 24, 2009

Hebu nipeni kapsheni ya hii picha


Ni mambo ya kawaida sana katika jamii na kwa afya ya jamii, upitapo kila kona ya nchi hii utawakuta wakiwa katika vijimeza vyao kandoni mwa barabara, lakini jeee wanauza nini hebu nipeni kapsheni.

2 comments:

SEDOUF said...

Kwa kumbukumbu zangu hawa jamaa huwa wanauza "dawa" kama vile dawa ya mapenzi! na nyenginezo.

Anonymous said...

jamani .mna shulubati hapo.mme wangu hawezi majamboz kabisa

SEKTA YA MADINI YACHOCHEA UCHUMI: MAPATO YAVUKA MALENGO NA MAUZO

  Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali inaendelea kuonesha dhamira ya...