Thursday, August 27, 2009

JWTZ na maadhimisho ya miaka 45


Mambo yote haya unayapata pale Ukonga Airwing kila lizana la kiviuta la kutisha linapatikana katika maonyesho haya, kila mmoja anaweza anajionea mwenyewe hapo zamani ilikuwa siri, hivi sasa mambo yote hadharani wahi kabla ya Jumanne Septemba 1.


Kifaru cha kurushia makombora. Vifaa mbalimbali na silaha vinaoneshwa kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya JWTZ kutimiza miaka 45. Kwa Taarifa zaidi za sherehe hizi waweza tembelea FATHER KIDEVU

No comments:

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...