Thursday, August 27, 2009

JWTZ na maadhimisho ya miaka 45


Mambo yote haya unayapata pale Ukonga Airwing kila lizana la kiviuta la kutisha linapatikana katika maonyesho haya, kila mmoja anaweza anajionea mwenyewe hapo zamani ilikuwa siri, hivi sasa mambo yote hadharani wahi kabla ya Jumanne Septemba 1.


Kifaru cha kurushia makombora. Vifaa mbalimbali na silaha vinaoneshwa kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya JWTZ kutimiza miaka 45. Kwa Taarifa zaidi za sherehe hizi waweza tembelea FATHER KIDEVU

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...