Thursday, August 27, 2009

JWTZ na maadhimisho ya miaka 45


Mambo yote haya unayapata pale Ukonga Airwing kila lizana la kiviuta la kutisha linapatikana katika maonyesho haya, kila mmoja anaweza anajionea mwenyewe hapo zamani ilikuwa siri, hivi sasa mambo yote hadharani wahi kabla ya Jumanne Septemba 1.


Kifaru cha kurushia makombora. Vifaa mbalimbali na silaha vinaoneshwa kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya JWTZ kutimiza miaka 45. Kwa Taarifa zaidi za sherehe hizi waweza tembelea FATHER KIDEVU

No comments:

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...