Tuesday, August 04, 2009

Bunge la Afrika Mashariki


SPIKA wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki Abdirahim Abdi akijadiliana jambo na afisa mmojawapo wa bunge hilo wakati wa kikao cha bunge la Afrika Mashariki kinachoendelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Karimjee, kikao hicho kililazimika kuahirishwa jana baada ya kukatika kwa umeme. (Picha na Jackson Odoyo)

No comments:

PROF. SHEMDOE AWAASA WANAFUNZI KUENDELEZA VIPAJI VYAO VYA MICHEZO, SANAA

• Awataka kuwa na nidhamu na kusoma kwa bidii Na OWM - TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali ...