Tuesday, August 04, 2009

Bunge la Afrika Mashariki


SPIKA wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki Abdirahim Abdi akijadiliana jambo na afisa mmojawapo wa bunge hilo wakati wa kikao cha bunge la Afrika Mashariki kinachoendelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Karimjee, kikao hicho kililazimika kuahirishwa jana baada ya kukatika kwa umeme. (Picha na Jackson Odoyo)

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...