Tuesday, August 04, 2009

Bunge la Afrika Mashariki


SPIKA wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki Abdirahim Abdi akijadiliana jambo na afisa mmojawapo wa bunge hilo wakati wa kikao cha bunge la Afrika Mashariki kinachoendelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Karimjee, kikao hicho kililazimika kuahirishwa jana baada ya kukatika kwa umeme. (Picha na Jackson Odoyo)

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...