Sunday, August 16, 2009

Hasheem Thabeet






Mtanzania mcheza mpira wa kikapu Marekani wa ligi ya NBA, Hasheem Thabeet, akiwasili Dar es Salaam kwa heshima ya kitaifa kwa kupokewa na Naibu Waziri, Joel Bendera (suti) na Rais wa mpira wa Kikapu, Richard Kasesela jana. Picha ya Venance Nestory.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...