Sunday, August 16, 2009

Hasheem Thabeet






Mtanzania mcheza mpira wa kikapu Marekani wa ligi ya NBA, Hasheem Thabeet, akiwasili Dar es Salaam kwa heshima ya kitaifa kwa kupokewa na Naibu Waziri, Joel Bendera (suti) na Rais wa mpira wa Kikapu, Richard Kasesela jana. Picha ya Venance Nestory.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...