Sunday, August 16, 2009

Hasheem Thabeet






Mtanzania mcheza mpira wa kikapu Marekani wa ligi ya NBA, Hasheem Thabeet, akiwasili Dar es Salaam kwa heshima ya kitaifa kwa kupokewa na Naibu Waziri, Joel Bendera (suti) na Rais wa mpira wa Kikapu, Richard Kasesela jana. Picha ya Venance Nestory.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...