Tuesday, August 25, 2009

Mashindano ya kusoma kwa kukariri Kuran


Salma Khamis (12)
Vijana mbalimbali kutoka vyuo mbalimbali vya kiislamu wakishindana kusoma kwa kukariri quran, mashindano hayo yalifanyika juzi katika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam.

Msemaji wa Kituo cha Ubalozi wa Iran, Mostafa Kanjibar, akikabidhi zawadi ya Feni kwa mshindi wa kusoma juzuu 7, Yassin Abass, yaliyofanyika katika viwanja vya mwembe Yanga, Dar es Salaam.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...