Tuesday, August 25, 2009

Mashindano ya kusoma kwa kukariri Kuran


Salma Khamis (12)
Vijana mbalimbali kutoka vyuo mbalimbali vya kiislamu wakishindana kusoma kwa kukariri quran, mashindano hayo yalifanyika juzi katika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam.

Msemaji wa Kituo cha Ubalozi wa Iran, Mostafa Kanjibar, akikabidhi zawadi ya Feni kwa mshindi wa kusoma juzuu 7, Yassin Abass, yaliyofanyika katika viwanja vya mwembe Yanga, Dar es Salaam.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...