Friday, August 21, 2009

Mama Obama



Mama Michelle Obama akiwa na mwanaye ndani ya vikaptula akishuka ktk Air Force One ni Mke wa Rais wa Kwanza (nadhani Ulimwenguni) kutoka namna hiyo, uvaaji wake huo umeleta mjadala mkubwa sana katika jamii nyingi duniani .

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...