Friday, August 21, 2009

Mama Obama



Mama Michelle Obama akiwa na mwanaye ndani ya vikaptula akishuka ktk Air Force One ni Mke wa Rais wa Kwanza (nadhani Ulimwenguni) kutoka namna hiyo, uvaaji wake huo umeleta mjadala mkubwa sana katika jamii nyingi duniani .

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...