Friday, August 21, 2009

Mama Obama



Mama Michelle Obama akiwa na mwanaye ndani ya vikaptula akishuka ktk Air Force One ni Mke wa Rais wa Kwanza (nadhani Ulimwenguni) kutoka namna hiyo, uvaaji wake huo umeleta mjadala mkubwa sana katika jamii nyingi duniani .

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...