Sunday, August 02, 2009

Hee, ..Miss Temeke kumbe!












Hatimaye Redds Miss Temeke 2009 amepatikana ambaye ni Sia Ndeskoi kama unavyomuaona katika picha akiwa kati lakini katika picha nyingine katika pozi tofauti sambamba naye wapo warembo walioshiriki naye shindano hilo. shindano la urembo kanda ya Temeke lilifanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa TCC Sigara Chang'ombe na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa urembo.

No comments:

Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini

  ☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...