Sunday, August 02, 2009

Hee, ..Miss Temeke kumbe!












Hatimaye Redds Miss Temeke 2009 amepatikana ambaye ni Sia Ndeskoi kama unavyomuaona katika picha akiwa kati lakini katika picha nyingine katika pozi tofauti sambamba naye wapo warembo walioshiriki naye shindano hilo. shindano la urembo kanda ya Temeke lilifanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa TCC Sigara Chang'ombe na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa urembo.

No comments:

SEKTA YA MADINI YACHOCHEA UCHUMI: MAPATO YAVUKA MALENGO NA MAUZO

  Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali inaendelea kuonesha dhamira ya...