Sunday, August 02, 2009

Hee, ..Miss Temeke kumbe!












Hatimaye Redds Miss Temeke 2009 amepatikana ambaye ni Sia Ndeskoi kama unavyomuaona katika picha akiwa kati lakini katika picha nyingine katika pozi tofauti sambamba naye wapo warembo walioshiriki naye shindano hilo. shindano la urembo kanda ya Temeke lilifanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa TCC Sigara Chang'ombe na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa urembo.

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...