Wednesday, August 05, 2009

Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji


Padre Timothy Coday wa Shirika la Kanisa Katoliki la Damu Azizi ya Yesu akimwonesha Rais Jakaya Mrisho Kikwete pampu katika kituo cha maji alichokizindua katika mji wa Manyoni, Mkoani Singida leo

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...