Wednesday, August 05, 2009

Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji


Padre Timothy Coday wa Shirika la Kanisa Katoliki la Damu Azizi ya Yesu akimwonesha Rais Jakaya Mrisho Kikwete pampu katika kituo cha maji alichokizindua katika mji wa Manyoni, Mkoani Singida leo

No comments:

Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini

  ☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...