Wednesday, August 05, 2009

Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji


Padre Timothy Coday wa Shirika la Kanisa Katoliki la Damu Azizi ya Yesu akimwonesha Rais Jakaya Mrisho Kikwete pampu katika kituo cha maji alichokizindua katika mji wa Manyoni, Mkoani Singida leo

No comments:

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...