Tuesday, August 25, 2009

Malipo ya waathirika Mbagala vilio tupu

Malipo ya waathirika wa mabomu Mbagala yameanza kutolewa leo katika Ofisi za Manipaa ya Temeke Dar es Salaam. Walio na malalamiko waliwasilisha baada ya kupokea Hundi au kabla. maana wapo wanaolipwa 30,000 wakati alitaraji milioni kadhaa. Watu kibao wanalia kupita kiasi walitarajia makubwa na wamepata kiduchuu!!!!!!!!!! picha na zaidi hebu cheki hapa kwa http://mrokim.blogspot.com/2009/08/malipo-mbagala-yaanza.html

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...