Tuesday, August 25, 2009

Malipo ya waathirika Mbagala vilio tupu

Malipo ya waathirika wa mabomu Mbagala yameanza kutolewa leo katika Ofisi za Manipaa ya Temeke Dar es Salaam. Walio na malalamiko waliwasilisha baada ya kupokea Hundi au kabla. maana wapo wanaolipwa 30,000 wakati alitaraji milioni kadhaa. Watu kibao wanalia kupita kiasi walitarajia makubwa na wamepata kiduchuu!!!!!!!!!! picha na zaidi hebu cheki hapa kwa http://mrokim.blogspot.com/2009/08/malipo-mbagala-yaanza.html

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...