Tuesday, August 25, 2009

Malipo ya waathirika Mbagala vilio tupu

Malipo ya waathirika wa mabomu Mbagala yameanza kutolewa leo katika Ofisi za Manipaa ya Temeke Dar es Salaam. Walio na malalamiko waliwasilisha baada ya kupokea Hundi au kabla. maana wapo wanaolipwa 30,000 wakati alitaraji milioni kadhaa. Watu kibao wanalia kupita kiasi walitarajia makubwa na wamepata kiduchuu!!!!!!!!!! picha na zaidi hebu cheki hapa kwa http://mrokim.blogspot.com/2009/08/malipo-mbagala-yaanza.html

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...