Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Monday, August 03, 2009
Azimio la Dodoma
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA
Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment