Monday, August 03, 2009

Azimio la Dodoma



Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...