Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Monday, August 03, 2009
Azimio la Dodoma
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment