Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Monday, August 03, 2009
Azimio la Dodoma
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa Azimio la Kilimo Kwanza pamoja na kufungua rasmi maonesho ya wakulima Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma jana. Azimio hili bwana sijui kama litakuwa strong kama yalivyokuwa yale ya kilimo cha kufa na kupona au elimu kwa wote au azimio la Arusha, au azimio la Iringa na kadhalika sisi tunasubiri utekelezaji. Picha na Jube Tranquilino
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment