Thursday, August 27, 2009

Miss Utalii Tanzania 2009 -Temeke

Lina Deus (19)
Jennifer Festo (19)
Erica Allan (23)
LINA Deusi, Jenifa Festo, Glori Mlayi, Neema Simbo, Happy Felix, Zainabu Matangi, Erica Allan
Zainabu Matangi.
Picha za Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Utalii Tanzania 2009 -Temeke, picha zote zimepigwa jana wakati wa mazoezi katika Ukumbi wa City Garden (Gerezani Zamani) shindano hilo litafanyika siku ya Sept 25 hapo hapo City Garden Kariakoo, Dar es Slaam.

Mazoezi yameanza wiki hii Jumatatu na warembo zaidi wanatakiwa kufika katika mazoezi hayo ili kukamilisha mchakato mzima maandalizi kabla ya kwenda kutembelea katika hifadhi za Taifa ambako watajifunza masuala mbalimbali yanayohusiana na Utalii wa nchi hii.

Mratibu ama mhandaaji wa Miss Utalii Tanzania 2009 Temeke ni miss Utalii Tanzania- Vipaji 2005, Linda Masanche.

No comments:

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...