Friday, August 21, 2009

Uonapo barabarani ajali imetokea


Ajali ni ajali tu bwana hebu cheki hii gari sijui imekuwaje ikakutwa na mkasa huu ambao hakuna mtu aliyejeruhiwa, lakini ni ajali mbaya iliyotokea katika barabara ya Mandela iliyopo katika ukarabati mkubwa kwa takribani miaka miwili sasa na unakaribia kukamilika sasa.

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...