Friday, August 21, 2009

Uonapo barabarani ajali imetokea


Ajali ni ajali tu bwana hebu cheki hii gari sijui imekuwaje ikakutwa na mkasa huu ambao hakuna mtu aliyejeruhiwa, lakini ni ajali mbaya iliyotokea katika barabara ya Mandela iliyopo katika ukarabati mkubwa kwa takribani miaka miwili sasa na unakaribia kukamilika sasa.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...