Friday, August 21, 2009

Uonapo barabarani ajali imetokea


Ajali ni ajali tu bwana hebu cheki hii gari sijui imekuwaje ikakutwa na mkasa huu ambao hakuna mtu aliyejeruhiwa, lakini ni ajali mbaya iliyotokea katika barabara ya Mandela iliyopo katika ukarabati mkubwa kwa takribani miaka miwili sasa na unakaribia kukamilika sasa.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...