Sunday, July 25, 2010

MO apata ajali


Landcuiser (NYEKUNDU) ya mgombea ubunge Singida mjini,Hawa Ngulume,baada ya kugonga hiece kwa nyuma aliyokuwa amepanda mgombea mwingine Mohammed Dewji na kusababisha Dewji kurushwa na kugonga paa la hiece hiyo na kuumia. Picha na Gasper Andrew

1 comment:

Anonymous said...

hii yote ni kwa sababu ya uchaguzi, nani amwmbie jk umechelewa ungeanza na karamagi,msabaha hapo tungejuwa uko serious. BOT imegharimu $354.00 kujenga lakini gharama halisi ni $73.00 zingine wamegawana vizito wa sirikali!!!!

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ahimiza Ushirikiano wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Uchaguzi kwa Amani na Usalama

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...