Friday, July 02, 2010

Matata ya ufugaji




Kutokana na hali ya ukame unaosababishwa na upungufu wa mvua, wafugaji wamekuwa na hali duni ya kimaisha. Wafugaji hutegemea mvua na sehemu kubwa ya Tanzania haina vyanzo vya maji kama vile mito na maziwa ili kuweza kuota kwa malisho bora ya mifugo. Matokeo yake wafugaji mara nyingi huathirika kwa ukame kutokana na ukosefu wa mvua au upungufu, pichani wafugaji wanaonekana wakihangaika kuwaswaga mifugo wao kuelekea maeno yenye malisho katika moja ya picha zilizopigwa hivi karibuni.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...