Friday, July 02, 2010

Matata ya ufugaji




Kutokana na hali ya ukame unaosababishwa na upungufu wa mvua, wafugaji wamekuwa na hali duni ya kimaisha. Wafugaji hutegemea mvua na sehemu kubwa ya Tanzania haina vyanzo vya maji kama vile mito na maziwa ili kuweza kuota kwa malisho bora ya mifugo. Matokeo yake wafugaji mara nyingi huathirika kwa ukame kutokana na ukosefu wa mvua au upungufu, pichani wafugaji wanaonekana wakihangaika kuwaswaga mifugo wao kuelekea maeno yenye malisho katika moja ya picha zilizopigwa hivi karibuni.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...