Wednesday, July 28, 2010

Kura ya maoni yaiva Zanzibar



WAKATI ikiwa zimebaki siku mbili zipigwe visiwani Zanzibar heka heka zimeendelea huku pande mbili zinazovutana kuhusu kura hizo upande mmoja ukiwataka wananchi kutokubali kufitinishwa na kwa sababu za tofauti za kiitikadi kisiasa juu ya uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa na mwingine ukiipuuza.

Upande unaounga mkono kura hiyo umetoa ushauri jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Watu sita ya Baraza la Wawakilishi inayofuatilia kura za maoni, Ali Mzee Ali alisisitiza kura ya ndiyo ni muhimu alipokuwa akizungumza na wananchi mbalimbali katika kikao kilichoanza jana kisiwani humo.

Akizungumza katika mkutano wa pamoja wa Madiwani na Masheha wa Mkoa wa Kusini Pemba jana Ali Mzee alisema kwamba hivi sasa kumeundwa utaratibu mmoja wa kuzika siasa za fitina, chuki na hasama ambazo zinahitaji kuepukwa kabisa na badala yake kujenga mustakabali mpya wenye matumaini wenye kuzingatia umoja na mshikamano kwa jamii.

“Nawasihi msikubali kufitinishwa mkapoteza watu wazuri kama ilivyotokea huko nyuma, nadhani nyote mnajua nini kilitokea kwa hivyo nasema tena nakuombeni sana msikubali kurudi katika balaa, tunahitaji umoja na amani zaidi kwa hivyo ni matarajio yangu kuwa mtatumia busara katika kupiga kura ya maoni kuchagua jambo jema na sio kurudi katika vurugu,” alisema Mwenyekiti huyo.

Wakati hayo yakiendelea baadhi ya watu wamekuwa wakisambaza mabango na baadhi ya vipeperushi wakipinga kura hizo za maoni Mjini Unguja. Bango limebandika katika maskani ya kaka ya Mwembe Kisonge ambayo ni kambi ya mmoja wa wagombea kila siku huwa kunaandikwa ujumbe unaofanana 'wana CCM Mseto ni hatari, kura ya maoni tia hapana.'
Mzee alisema Zanzibar hakuna upinzani bali kuna chuki na uhasama mkubwa miongoni mwa wananchi wa Unguja na Pemba hali ambayo inahtaji kurekebishwa na kuondolewa kabisa.

Alisema chaguzi zote zilizofanyika Zanzibar kuanzia Uchaguzi wa kwanza wa 1957 na zilizofuatia zilitawaliwa na vurugu na hata baada ya kurejea kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 ushindani ulikuwa karibu sawa kwani katika matokeo ya Uchaguzi wa 1995 CCM ilishinda Viti 26 na CUF viti 24, lakini nchi haijatulia kabla na baada ya mapinduzi.

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa akizungumza katika mkutano huo, alisema Mapinduzi ya Januari 12, 1964 yalifanyika kuleta hali za watu sawa na kuondoa aina yoyote ya ubaguzi ambapo Afro Shiraz Party (ASP) hakikuwa na dhamira ya kuwafanya Waafrika kuwa juu ya watu wengine hivyo yanayotokea sasa ni kinyume na dhamira ya mapinduzi.

Aidha alisema Kisiwa cha Pemba kimepita katika kipindi kigumu sana cha kususiana mambo mbalimbali, vitendo vya kuhujumiana kuchomeana nyumba, kumwagiana tindikali mwilini na baadhi ya wanaume kuwapa talaka wake zao kutokana na ushabiki wa kisiasa. Imeandikwa na Salma Said. SOURCE:MWANANCHI

2 comments:

Anonymous said...

In the day that the clothes layout came out it [B][URL=http://www.edhardystore.uk.com]ed hardy clothing[/URL][/B] renowned inside complete wold. Holdingg the [B]ed hardy clothes[/B] group could be the mark of celebrities.

The clothes group is not only for [B]ed hardy shirts[/B] A tattoo fashion is encouraged on he types around the style path , which has put up with for this kind of a lengthy time. [B][URL=http://www.edhardystore.uk.com]ed hardy sneakers[/URL][/B] that varieties will not weaken in so numerous many years through the day it was [B][URL=http://www.edhardystore.uk.com]christian audigier[/URL][/B] is significantly a very good point to invest. [B]ed hardy clothing[/B] Clothes is just proper for someone, who is like charming. [B][URL=http://www.edhardystore.uk.com]ed hardy clothes[/URL][/B] clothes series may be the finest choice,If you want styles and simplicity with elegance. These clothes will absolutely fit you [B]ed hardy clothing[/B] of your rank and your age.

Anonymous said...

It is hard to believe that anything [B][URL=http://www.mbtplus.com/]footwear etc[/URL][/B] so inherently ugly as the MBT shoe could ever catch on [U]mbt shoes cheap[/U] with either the younger generation or the fitness fanatics but it has. [B]MBT shoes[/B] The shoes or I suppose they should be called trainers have thick curved soles and wide straps across the front. Currently [U][B]mbt shoes review[/U][/B] the are available in over 20 countries and have sold more than a million pairs a year. Considering that they have a price tag of around $200 it is even [B]footwear etc[/B] more remarkable.

MBT shoes, which stand for Masai [B]MBT[/B] Barefoot Technology were invented by Karl Muller a Swiss engineer. He [B]buy mbt shoes[/B] suffered back and knee problems but on a trip to Korea he noticed [U][B]mbt sneakers[/U][/B] that after walking barefoot through paddy fields the symptoms were relieved. With further [U]mbt shoes review[/U] research he discovered that the Masai tribesmen from Kenya did not suffer back problems [B]footwear etc[/B] and had perfect posture. Putting these two facts together he decided that [U]mbt shoes sale[/U] the answer was because they were walking on soft surfaces [U]mbt shoes clearance[/U] which yielded as they trod on them. This [U]mbt sneakers[/U] was unlike in Europe and America where we tend to walk on firm surfaces such as sidewalks.

The first MBT was manufactured in 1996 and soon [U][B]footwear etc[/U][/B] became popular on continental Europe. Since then many celebrities have [B]mbt shoes sale[/B] been seen sporting MBTs. The concept basically is that the [U][B]mbt discount shoes[/U][/B] curved sole creates instability as you walk, which [U][B]mbt shoes cheap[/U][/B] mimics the effect of walking barefoot. To counteract this the foot uses muscle to counter this [B][URL=http://www.mbtplus.com/]mbt sandals[/URL][/B] and creates a natural body training effect.

The makers claim that this natural instability [B]MBT[/B] strengthens the muscles, increases muscle activity, calorie [B]mbt shoes sale[/B] burn and blood circulation. They also say that it reduces the shock forces [U]mbt shoes sale[/U] on joints which help prevent a variety of degenerative muscular and skeletal problems [U][B]mbt shoes cheap[/U][/B] including back pain.