Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amkikabidhi fomu ya kugombea urais, kupitia chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, wakati wa mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu jana. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Profesa Mwesiga Baregu.
Tuesday, July 27, 2010
Dk Slaa atikisa Karatu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amkikabidhi fomu ya kugombea urais, kupitia chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, wakati wa mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu jana. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Profesa Mwesiga Baregu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment