Tuesday, July 27, 2010

Dk Slaa atikisa Karatu



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amkikabidhi fomu ya kugombea urais, kupitia chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, wakati wa mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu jana. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Profesa Mwesiga Baregu.

No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...