Tuesday, July 27, 2010

Dk Slaa atikisa Karatu



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amkikabidhi fomu ya kugombea urais, kupitia chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, wakati wa mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu jana. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Profesa Mwesiga Baregu.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ahimiza Ushirikiano wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Uchaguzi kwa Amani na Usalama

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...