Thursday, July 08, 2010

Ubunifu mpya huduma ya maji



Mkazi wa Temeke akiendesha Pikipiki aina ya Bajaji ikiwa na Tanki la maji safi tayari kwa kuuza mitaani, ambapo zimetolewa hivi kalibuni na Dawasco kwa ajili ya kurahisisha huduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Picha na Elizabeth Suleyman.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...