Thursday, July 08, 2010

Ubunifu mpya huduma ya maji



Mkazi wa Temeke akiendesha Pikipiki aina ya Bajaji ikiwa na Tanki la maji safi tayari kwa kuuza mitaani, ambapo zimetolewa hivi kalibuni na Dawasco kwa ajili ya kurahisisha huduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Picha na Elizabeth Suleyman.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...