Thursday, July 08, 2010

Ubunifu mpya huduma ya maji



Mkazi wa Temeke akiendesha Pikipiki aina ya Bajaji ikiwa na Tanki la maji safi tayari kwa kuuza mitaani, ambapo zimetolewa hivi kalibuni na Dawasco kwa ajili ya kurahisisha huduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Picha na Elizabeth Suleyman.

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...