Thursday, July 29, 2010

Dk Slaa afunika Arusha


Mgombea wa urais wa Jamhuri wa Muungano kupitia Chama cha Deomkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, akiwahutubia maelefu ya wakazi wa mji wa Arusha, ambao walijitokeza kumdhani, katika Uwanja wa NMC leo. Picha na Joseph Senga.

2 comments:

Anonymous said...

napenda website yako kwa sababu siyo kina michuzi na ndugu zake wanalipwa na uhuru/mzalendo lazima tuelewe kama alivyosema jamaa/bango siku ya wafanyakazi iringa miaka miwili iliyopita, "bila ufisadi maisha bora kwa wote yanawezekana" jk anataka watu bongo wote wahamie ughaibuni ili wakafungue matawi mapya ya ccm, sijui anataka wazungu wajiunge ufisadi wa ccm. twisted logic !!!!!

Anonymous said...

Well HANSEN is giving it all and that means RUSH is FUCKED.

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...