Friday, July 09, 2010

Ajali haina kinga


Gari la kikosi cha zimamoto likiwa limepinduka katika eneo la Magomeni Mapipa, jijini Dar es Salaam jana , baada ya dereva kushindwa kulimudu wakati akijaribu kupishana na gari jingine. Picha ya Michael Jamson wa Mwananchi

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...