Friday, July 09, 2010

Ajali haina kinga


Gari la kikosi cha zimamoto likiwa limepinduka katika eneo la Magomeni Mapipa, jijini Dar es Salaam jana , baada ya dereva kushindwa kulimudu wakati akijaribu kupishana na gari jingine. Picha ya Michael Jamson wa Mwananchi

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...