
Gari la kikosi cha zimamoto likiwa limepinduka katika eneo la Magomeni Mapipa, jijini Dar es Salaam jana , baada ya dereva kushindwa kulimudu wakati akijaribu kupishana na gari jingine. Picha ya Michael Jamson wa Mwananchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...
No comments:
Post a Comment