Monday, July 12, 2010

Maandalizi ya Tamasha la Tatu la ngoma za asili la kimataifa

Kikundi cha sanaa cha bendi ya Twetu Robo, wakifanya mazoezi kambini kwao Sinza jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni maandalizi ya tamasha la tatu la kimataifa kutafuta kikundi bora cha ngoma za asili litakalofanyika mjini Bagamoyo hivi karibuni. Picha na Venance Nestory

No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...