Monday, July 12, 2010

Maandalizi ya Tamasha la Tatu la ngoma za asili la kimataifa

Kikundi cha sanaa cha bendi ya Twetu Robo, wakifanya mazoezi kambini kwao Sinza jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni maandalizi ya tamasha la tatu la kimataifa kutafuta kikundi bora cha ngoma za asili litakalofanyika mjini Bagamoyo hivi karibuni. Picha na Venance Nestory

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ahimiza Ushirikiano wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Uchaguzi kwa Amani na Usalama

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...