Monday, July 12, 2010

Maandalizi ya Tamasha la Tatu la ngoma za asili la kimataifa

Kikundi cha sanaa cha bendi ya Twetu Robo, wakifanya mazoezi kambini kwao Sinza jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni maandalizi ya tamasha la tatu la kimataifa kutafuta kikundi bora cha ngoma za asili litakalofanyika mjini Bagamoyo hivi karibuni. Picha na Venance Nestory

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...