Sunday, July 25, 2010

MO apata ajali


Landcuiser (NYEKUNDU) ya mgombea ubunge Singida mjini,Hawa Ngulume,baada ya kugonga hiece kwa nyuma aliyokuwa amepanda mgombea mwingine Mohammed Dewji na kusababisha Dewji kurushwa na kugonga paa la hiece hiyo na kuumia. Picha na Gasper Andrew

1 comment:

Anonymous said...

hii yote ni kwa sababu ya uchaguzi, nani amwmbie jk umechelewa ungeanza na karamagi,msabaha hapo tungejuwa uko serious. BOT imegharimu $354.00 kujenga lakini gharama halisi ni $73.00 zingine wamegawana vizito wa sirikali!!!!

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...