Monday, July 12, 2010

Mizigo sasa bila shaka haitarundikana bandarini


Winchi Panamax quay ya kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini (TICTS) ikishushwa kutoka kwenye meli ya mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam jana, wichi hiyo ina uwezo wa kubeba kontena mbili za futi ishirini kwa wakati mmoja. Picha na Michael Jamson

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...