Monday, July 12, 2010

Mizigo sasa bila shaka haitarundikana bandarini


Winchi Panamax quay ya kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini (TICTS) ikishushwa kutoka kwenye meli ya mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam jana, wichi hiyo ina uwezo wa kubeba kontena mbili za futi ishirini kwa wakati mmoja. Picha na Michael Jamson

No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...