Monday, July 12, 2010

Mizigo sasa bila shaka haitarundikana bandarini


Winchi Panamax quay ya kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini (TICTS) ikishushwa kutoka kwenye meli ya mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam jana, wichi hiyo ina uwezo wa kubeba kontena mbili za futi ishirini kwa wakati mmoja. Picha na Michael Jamson

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...