Monday, July 19, 2010

Mwisho Mwampamba aiwakilisha Tanzania big Brother


Mwisho Mwampamba akiingia ndani ya nyumbaa BBA na staili ya kufuga ndevu kwa chati...huku akisema kuwa siku hizi amekuwa bush man, mtu wa kijijini....! kutrokana na muwezo wam Mwisho Mwampamba kuvaa uhusika ni imani yetu kwamba anaweza kufika mbali katika shindano la BBA Stars mwaka huu tunamtakia kila mafanikio katika shindano hilo.

No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...