Monday, July 19, 2010

Mwisho Mwampamba aiwakilisha Tanzania big Brother


Mwisho Mwampamba akiingia ndani ya nyumbaa BBA na staili ya kufuga ndevu kwa chati...huku akisema kuwa siku hizi amekuwa bush man, mtu wa kijijini....! kutrokana na muwezo wam Mwisho Mwampamba kuvaa uhusika ni imani yetu kwamba anaweza kufika mbali katika shindano la BBA Stars mwaka huu tunamtakia kila mafanikio katika shindano hilo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...