Tuesday, July 13, 2010

Ajali ya basi la Hekima




Hivi ndivyo basi la Hekima Royal Class lenye namba za usajili T607 ARR lililokuwa likitoka Dar es Salaam kuelekea Tunduma kupata ajali katika eneo la Ilula karibu na hoteli ya Al-Jaziira kabla ya kufika Mlima Kitonga kugongana na tela lililochomoka na kuacha njia wiki iliyopita.
Majeruhi wa ajali hiyo akiwemo dereva wa gari hilo walifikishwa katika hospitali mjini Iringa. Picha zote na Christina Njovu.

No comments:

Rais Museveni Afanya Ziara ya Kikazi Tanzania, Aimarisha Ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ziara inayodh...