Tuesday, July 13, 2010

Ajali ya basi la Hekima




Hivi ndivyo basi la Hekima Royal Class lenye namba za usajili T607 ARR lililokuwa likitoka Dar es Salaam kuelekea Tunduma kupata ajali katika eneo la Ilula karibu na hoteli ya Al-Jaziira kabla ya kufika Mlima Kitonga kugongana na tela lililochomoka na kuacha njia wiki iliyopita.
Majeruhi wa ajali hiyo akiwemo dereva wa gari hilo walifikishwa katika hospitali mjini Iringa. Picha zote na Christina Njovu.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ahimiza Ushirikiano wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Uchaguzi kwa Amani na Usalama

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...