
Ni mambo ya kawaida sana katika jamii na kwa afya ya jamii, upitapo kila kona ya nchi hii utawakuta wakiwa katika vijimeza vyao kandoni mwa barabara, lakini jeee wanauza nini hebu nipeni kapsheni.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameongoza Kikao cha 15 cha Kamati ya Pamoja kati ya Serikali ya ...
2 comments:
Kwa kumbukumbu zangu hawa jamaa huwa wanauza "dawa" kama vile dawa ya mapenzi! na nyenginezo.
jamani .mna shulubati hapo.mme wangu hawezi majamboz kabisa
Post a Comment