
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki jana kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi

Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe


alipokutana na Cardinal Pengo wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe
PICHA NA Dj Sek Blog
No comments:
Post a Comment