Monday, June 30, 2014

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akutana na Wazee Kutoka kata ya Nsimbo katika Jimbo la Kigoma Kusini na Wazee Kutoka Kijiji cha Kwaraa, Babati

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Wazee kutoka kata ya Nsimbo katika jimbo la Kigoma Kusini baada ya kuzungumza nao ofisini kwake  bungeni mjini Dodoma Juni 28, 2014
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wazee kutoka kijiji cha Kwaraa, Babati  wakiwa na Mbunge wao wa Babati Mjini, Kisyeri Chambiri (watatu kushoto) ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Juni 28, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na  wazee kutoka kata ya Simbo wilayani Uvinza, ofsini kwake mjini Dodoma Juni 28, 2014. Kulia ni Mbunge wa Kigoma Kusini, David kafulila (kulia) na wa sita kushoto ni Mbunge wa kigoma Mjini Peter Serukamba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...