Monday, June 02, 2014

Marehemu Amina-Zahara Shabani Mtengeti azikwa Kisutu, Dar es salaam


 Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Ghalib Bilali, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na viongozi wengine na waombolezaji wakiwa katika mazishi ya marehemu Amina-Zahara Shabani Mtengeti katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam jioni hii. Marehemu, ambaye ni mdogo wa Hajat Mwantumu Malale, Dkt. Asha-Rose Migiro, Balozi Radhia Msuya, alifariki jana
 Shughuli za mazishi zikiendelea
 Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Ghalib Bilali akiweka udongo kaburini
 Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini
 Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akiweka udongo kaburini
 Jaji Mkuu Mhe. Mohamed Chande Othman akiweka mchanga kaburini
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Mecky Sadick akiweka mchanga kaburini
 Viongozi, ndugu, jamaa na marafiki wakiweka udongo kaburini
 Balozi Juma Mwapachu akiweka udongo kaburini
 Makamu Mwenyekiti wa CCM Mhe Philip Mangula akiweka udongo kaburini
Ndugu, jamaa na marafiki wakiweka udongo kaburini.
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

No comments: