Monday, June 30, 2014

EVANS AVEVA RAIS SIMBA

10Matokeo yametangaza na Evance Aveva amechaguliwa kuwa rais mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam huku Makamu wa rais akichaguliwa Bw. Godfrey Nyange Kaburu matokeo ya uchaguzi huo yametangazwa jana alfajiri naidadi kamili ya kura walizopata tutawapatia baada ya muda, Kwa upande wa kamati ya utendaji waliochaguliwa ni Idd Kajuna, Coliins Friesh, Ally Suru na Saild Tully kwa upande wa mwanamke ni Jasmin.

No comments:

MHANDISI MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA

  📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa hus...