Monday, June 03, 2013

Kimwana Alice Issack Anyakua Taji la Redd's Miss Dar City Center

 Redd's Miss Dar City Center, Alice Issack
 Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto).
  Warembo walioingia katika hatua ya tano bora.
  Hoyce Temu akitoa utaratibu wa kujibu maswali.
  Jaji Mkuu wa shindano hilo Wema Sepetu akiwa na majaji wenzake wakifuatilia shindano la Redd's Miss Dar City Center.Picha na Dande Francis

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...