Monday, June 03, 2013

Kimwana Alice Issack Anyakua Taji la Redd's Miss Dar City Center

 Redd's Miss Dar City Center, Alice Issack
 Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto).
  Warembo walioingia katika hatua ya tano bora.
  Hoyce Temu akitoa utaratibu wa kujibu maswali.
  Jaji Mkuu wa shindano hilo Wema Sepetu akiwa na majaji wenzake wakifuatilia shindano la Redd's Miss Dar City Center.Picha na Dande Francis

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...