Thursday, June 20, 2013

Waziri Mkuu Pinda Azindua mradi wa kuimarisha barabara katika halmashauri 18 nchini

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikata utepe wakati alipozindua  mradi  wa kuimarisha barabara katika halmashauri 18 nchini katika warsha iliyofanyika kwenye ukumbi wa Koringe mjini Moshi, Juni 18,2013,Wapili  Kushoto ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia  na kushoto ni mkurugenzi wa Benki ya Dunia katika Kanda ya tanzania, Uganda na Burundi, Philippe Dongier.
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na mchungaji anayesimamia  Kanisa la kiinjili za Kilutheri  Tanzanai KKKT katika Hospitali ya Kanisa hilo  ya Seriani , Arusha wakati alipokwenda kuwapopole majeruhi wa mlipuko wa bomu waliolazwa kwenye hospitali hiyo, Juni 18, 2013.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  mkurugenzi wa Benki ya Dunia katika Kanda ya tanzania, Uganda na Burundi, Philippe Dongier  (Wapili Kushoto) na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia (watatu kushoto) na kushoto ni Kaimu Katimu Mkuu wa TAMISEMI,Jumanne Sagini 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  wakati alipozindua mradi  wa kuimarisha barabara katika halmashauri 18 nchini katika warsha iliyofanyika kwenye ukumbi wa Koringe mjini Moshi, Juni 18,2013,Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu 

No comments: