Tuesday, June 04, 2013

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akutana Kwa Mazungumzo na Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko Tokyo nchini Japan

   Mke wa Rais na Mwenyekiti  wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akimkaribisha kwa mazungumzo Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko huko Tokyo nchini Japan. Mama Salma alikutana na mgeni wake huyo kwenye hoteli ya Intercontinental huko Yokohama jana mchana. 
  Mke wa Rais na Mwenyekiti  wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akiwa kwenye mazungumzo Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko huko Tokyo nchini Japan. Mama Salma alikutana na mgeni wake huyo kwenye hoteli ya Intercontinental huko Yokohama jana mchana. Picha na John Lukuwi

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...