Tuesday, June 04, 2013

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akutana Kwa Mazungumzo na Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko Tokyo nchini Japan

   Mke wa Rais na Mwenyekiti  wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akimkaribisha kwa mazungumzo Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko huko Tokyo nchini Japan. Mama Salma alikutana na mgeni wake huyo kwenye hoteli ya Intercontinental huko Yokohama jana mchana. 
  Mke wa Rais na Mwenyekiti  wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akiwa kwenye mazungumzo Profesa Midori Uno, anayefundisha somo la kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Soka kilichoko huko Tokyo nchini Japan. Mama Salma alikutana na mgeni wake huyo kwenye hoteli ya Intercontinental huko Yokohama jana mchana. Picha na John Lukuwi

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...