Tuesday, June 25, 2013

JK AMWAPISHA MWANTUMU MAHIZA KUWA SKAUTI MKUU WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA

  
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha  Skauti 
Mkuu waChama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu
 Mahiza akisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam
 Jumatatu Juni 23, 2013.
 Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania mteule Mhe.
 Mwantumu Mahiza akisubiri kuapishwa Ikulu jijini 
Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013. 
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na skauti 
kabla ya kumuapisha Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti 
Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza akisubiri kuapishwa 
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi baada ya
 kumuapisha Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti 
Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi vitendea 
kazi Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania 
Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu
 Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam
 Jumatatu Juni 23, 2013
   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  
Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania 
Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha 
 Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu 
Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Kiongozi Fakih 
Jundu na Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania 
Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu
 jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu 
Mahiza pamoja na viongozi wa maskatu na skauti  
baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam 
Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu 
Mahiza na familia yake baada ya kumuapisha  Ikulu
 jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu 
Mahiza pamoja na waheshimiwa wabunge ambao ni 
maskauti  baada ya kumuapisha  Ikulu jijini 
Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na skauti 
Ismail Aden Rageh na wabunge maskauti  Ikulu jijini
 Dar es salaam Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu 
Mahiza pamoja na wanachama wa UWT wilaya ya Ilala  
baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam 
Jumatatu Juni 23, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti 
Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu
 Mahiza na viongozi wa skauti nchini baada ya 
kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu 
Juni 23, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na 
skauti Livingstone Lusinde ambaye pia ni 
Mbunge wa Mtera  Ikulu jijini Dar es salaam
 Jumatatu Juni 23, 2013

No comments: