Sunday, June 16, 2013

DIAN S LIAER KUTOKA KILOSA NDIYE REDD’S MISS MOROGORO 2013

 Mshindi  wa taji la Redd’s Miss  Morogoro 2013 Dian S. Liazer akiwapungia mikono wananchi  huku akiwa na mshindi  wa pili  Sabra Islam na mshindi namba  tatu Musne Abdul, kushoto ni mdhamini mkuu wa shindano  hilo Rama Chalinze mwakilishi  wa NAF BAECH HOTEL PICHA NA FRANCIS GODWIN
Matangaza haya  kwa udhamini  wa NAF Beach Hotel Mtwara  ipo  mbioni kufunguliwa

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...