Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa
kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati
mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo jijini
Yokohama leo .Wengine katika picha kushoto ni Mbunge wa Nzega Dkt.Hamisi
Kigwangala na kulia ni Mbunge wa Kasulu mjini Mh.Moses Joseph
Machali.Wabunge hao ni wajumbe walioko katika msafara wa Mheshimiwa Rais
anayehudhuria Mkutano wa tano wa TICAD unaoendelea jijini Yokohama
Japan.Picha na Freddy Maro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment