Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa
kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati
mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo jijini
Yokohama leo .Wengine katika picha kushoto ni Mbunge wa Nzega Dkt.Hamisi
Kigwangala na kulia ni Mbunge wa Kasulu mjini Mh.Moses Joseph
Machali.Wabunge hao ni wajumbe walioko katika msafara wa Mheshimiwa Rais
anayehudhuria Mkutano wa tano wa TICAD unaoendelea jijini Yokohama
Japan.Picha na Freddy Maro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment