Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa
kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati
mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo jijini
Yokohama leo .Wengine katika picha kushoto ni Mbunge wa Nzega Dkt.Hamisi
Kigwangala na kulia ni Mbunge wa Kasulu mjini Mh.Moses Joseph
Machali.Wabunge hao ni wajumbe walioko katika msafara wa Mheshimiwa Rais
anayehudhuria Mkutano wa tano wa TICAD unaoendelea jijini Yokohama
Japan.Picha na Freddy Maro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA NA KUPONGEZA JITIHADA ZA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI.
Na Hamis Dambaya, DSM. Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Abdul-Razaq Badru ametembelea maonesho ya 49 ya...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment