Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa
kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati
mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo jijini
Yokohama leo .Wengine katika picha kushoto ni Mbunge wa Nzega Dkt.Hamisi
Kigwangala na kulia ni Mbunge wa Kasulu mjini Mh.Moses Joseph
Machali.Wabunge hao ni wajumbe walioko katika msafara wa Mheshimiwa Rais
anayehudhuria Mkutano wa tano wa TICAD unaoendelea jijini Yokohama
Japan.Picha na Freddy Maro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment