Sunday, November 18, 2012

MAPOKEZI YA SAFU MPYA YA UONGOZI WA CCM

 Viajana wa CCM wakishangilia kwa mtindo wa aina yake wakati wa sherehe hizo
Mamia ya wana-CCM Uwanja wa Kibandamaiti, wakati wa sherehe za wana-CCM wa Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi wa CCM Taifa
  Makatibu wa NEC, Mohamed Seif Khatib (Oganaizesheni na Asha-Rose Migiro (Siasa na Mambo ya Nje) wakiteta jambo wakati wa mkutano wa wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi wa CCM Taifa, kwenye viwanja vya Kibandamaiti, mkoa wa mjini
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiingia Uwanja wa Kibanadamaiti katika sherehe ya wana-CCM wa Zanzibar kupongeza safu mpya ya uongozi wa CCM Taifa. Wengine ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Vuai Ali Vuai, Naibu Katibu Mkuu (Bara) Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Makamu Mwenyekiti  wa CCM (Bara), Rais wa Zanzibar  Dk. Ali Mohamed Sheni akiingia uwanjani wa Kibandamaiti, Wilaya ya Mjini, wakati wa sherehe za Wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Watatu Naibu Katibu Mkuu (Bara) Vuai Ali Vuai
Makamu Mwenyekiti  wa CCM (Bara), Rais wa Zanzibar  Dk. Ali Mohamed Sheni akihutubia uwanja wa Kibandamaiti, Wilaya ya Mjini, wakati wa sherehe za Wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Watatu Naibu Katibu Mkuu (Bara) Vuai Ali Vuai.Picha na Bashir Nk0romo-itikadi na Uenezi-CCM

No comments: