Wednesday, November 28, 2012

MAMIA WAMZIKA MSANII SHARO MILIONEA LEO MUHEZA MKOANI TANGA


 Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele
Sehemu Kubwa ya Umati wa watu ulikishiriki mazishi
Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea, Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono na Msanii wa filamu JB wakielekea kwenye mazishi mapema mchana huu, Muheza mkoani Tanga.Picha Kwa Hisani Ya Ahmed Michuzi

No comments: