Wednesday, November 28, 2012

MAMIA WAMZIKA MSANII SHARO MILIONEA LEO MUHEZA MKOANI TANGA


 Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele
Sehemu Kubwa ya Umati wa watu ulikishiriki mazishi
Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea, Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono na Msanii wa filamu JB wakielekea kwenye mazishi mapema mchana huu, Muheza mkoani Tanga.Picha Kwa Hisani Ya Ahmed Michuzi

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...