Saturday, November 24, 2012

Shirika la Nyumba lazindua Ujenzi nyumba za gharama nafuu Katavi

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa Shirika la Nyumba la Taifa, Yahya Charahani kwenye maonyesho yanayoshirikisha taasisi, asasi na vitengo mbalimbali vya umma na watu binafsi mjini Mpanda jana. Maonyesho hayo ya wiki moja ni sehemu ya uzinduzi rasmi wa mkoa wa Katavi unaofanyika rasmi kesho.
 Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
 Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa Mikoa wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Raymond Mndolwa akieleza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemiah Kyando Mchechu kwenye Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
Meneja wa NHC Mbeya ambaye pia ni Mhandisi Msimamizi wa Mradi wa Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi, Malissa (kushoto) akizungumza na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC, Geofrey Msella wakati huku Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu (katikati) akisikiliza .

Jiwe la Msingi la nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda mkoani Katavi. (PICHA ZOTE ZA NHC)

No comments: