Thursday, September 02, 2010

Nyumba ya mwalimu




Nyumba anayoishi mtumishi wa Serikali Mwalimu Domisiana Mpenda wa shule ya Msingi Iyenge iliyopo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma. Picha na Israel Mgussi.

1 comment:

chib said...

Inasikitisha sana hali hii.

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...